iqna

IQNA

australia
TEHRAN (IQNA) - Somo kuhusu 'Lugha ya Qur'ani Tukufu' litaanza kufunzwa kwa mara ya kwanza kwa wanafunzi wa kugha ya Kiarabu katika Chuo Kikuu cha Sydney.
Habari ID: 3473588    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/25

TEHRAN (IQNA) – Wanajeshi tisa wa Australia wamejiua katika kipindi cha wiki tatu baada ya ripoti kufichua jinai zilizotendwa na Kikosi cha SAS cha Jeshi la Australia nchini Afghanistan.
Habari ID: 3473387    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/23

TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Australia wameingia na hofu ya kuenea chuki dhidi ya Uislamu baada ya ripoti mpya kubaini kuwa maambukizi mapya ya COVID-19 mjini Melbourne yalianzia katika mjumuiko wa kifamilia wa sherehe za Idul Fitr.
Habari ID: 3472896    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/25

TEHRAN (IQNA) - Watu wanaoaminika kuwa wahalifu wazungu wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali ya kibaguzi wameuhujumu msikiti katika mji wa Brisbane, Australia.
Habari ID: 3472125    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/11

TEHRAN (IQNA) –Waislamu wa mji mkuu wa Australia, Canberra wana sababu ya kutabasamu kufuatia kufunguliwa msikiti mpya katika mji huo baada ya jitihahada za muda mrefu.
Habari ID: 3471495    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/05

TEHRAN (IQNA)-Waislamu katika magereza ya Australia wanakabiliwa na mateso, udhalilishaji na ukandamizaji mikononi mwa maafisa wa gereza.
Habari ID: 3471219    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/16

TEHRAN (IQNA)-Watu wenye chuki dhidi ya Uislamu nchini Australia wanawalenga zaidi wanawake wenye kuvaa Hijabu, ripoti mpya imebaini.
Habari ID: 3471059    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/10

Seneta Pauline Hanson wa Australia amekosolewa kwa matamshi yake yaliyojaa chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3470568    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/17

Mwanamke Mwislamu mwenye umri wa miaka 25 amedhalilishwa baada ya kunyimwa kazi kutokana na vazi lake la Hijabu.
Habari ID: 3470475    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/26