iqna

IQNA

myanmar
Waislamu Warohingya
JAKARTA (IQNA) - Siku ya Jumanne, kundi la karibu wakimbizi 200 Waislamu wa jamii ya Rohingya, wakiwemo wanawake na watoto, waliwasili katika jimbo la magharibi mwa Indonesia, kulingana na afisa wa eneo hilo.
Habari ID: 3477891    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/14

Waislamu Warohingya
TEHRAN (IQNA) -Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) na wafadhili wanaitaka jumuiya ya kimataifa kuongeza juhudi kwa ajili ya msaada endelevu wa kifedha na masuluhisho kwa wakimbizi wa Rohingya na jamii za Bangladesh zinazowahifadhi huku hali mbaya ikiingia mwaka wake wa sita.
Habari ID: 3476683    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/09

Waislamu Warohingya
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwasaidia kwa hali na mali wakimbizi Waislamu wa Rohingya walioko nchini Bangladesh.
Habari ID: 3475696    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28

Waislamu wa jamii ya Rohingya
TEHRAN (IQNA) - Katika mwaka wa tano wa kulazimishwa kuhama Waislamu walio wachache wa Rohingya kutoka makwao nchini Myanmar, wengi wanaishi katika kambi ndani na nje ya nchi.
Habari ID: 3475674    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24

Waislamu Warohingya
TEHRAN (IQNA)- Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu Michelle Bachelet amewasili Bangladesh siku ya Jumapili katika safari ya siku nne ambayo inajumuisha kutembelea kambi za wakimbizi zenye hali mbaya ambapo zaidi ya wakimbizi milioni wa Rohingya kutoka Myanmar wanaishi.
Habari ID: 3475618    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14

Jinai za Myamar
TEHRAN (IQNA) – Nyaraka mpya zinaonyesha jinsi vikosi vya jeshi la Myanmar vilipanga kuwafukuza kwa lazima Waislamu walio wachache wa nchi hiyo kutoka ardhi zao za jadi.
Habari ID: 3475583    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05

TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) leo Jumatatu inaanza kusikiliza tena kesi ya mauaji ya Waislamu wa Rohingya wa Myanmar iliyokuwa imewasilishwa na Gambia katika mahakama hiyo.
Habari ID: 3474954    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/21

TEHRAN (IQNA)- Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet ameitaka jamii ya kimataifa izidishe mashinikizo kwa jeshi la Myanmar ili likomeshe kampeni yake ya ukatili na ukandamizaji dhidi ya watu wa Myanmar na kusisitiza kurejeshwa mara moja utawala wa kiraia nchini humo.
Habari ID: 3474869    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/30

TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umetia saini mapatano na Bangladesh kuhusu kuwasiadia wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya ambao wako katika kisiwa kimoka cha Ghuba ya Bengal.
Habari ID: 3474407    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/10

TEHRAN (IQNA)- Mmoja wa viongozi wa jamii ya Waislamu wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh kutoka Myanmar ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.
Habari ID: 3474370    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/02

TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Myanmar lilivyofanya mapinduzi na kutwaa madaraka ya nchi limetangaza kuwa, lina mpango wa kumfungulia mashtaka ya uhaini Aung San Suu Kyi kiongozi wa chama tawala cha nchi hiyo cha NLD na viongozi wengine kadhaa wa nchi hiyo.
Habari ID: 3473618    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/03

TEHRAN (IQNA) –Bangladesh imewahamisha Waislamu 1,804 wakimbizi wa jamii ya Rohiingya kutoka katika kambi ya wakimbizi ya Cox's Bazar na kuwapeleka katika kisiwa cha mbali ambacho hadi sasa hakikuwa na wanadamu katika Ghuba ya Bengali .
Habari ID: 3473530    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/06

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea matumaini yake kuwa uchaguzi mkuu wa Novemba 8 nchini Myanmar utaandaa mazingira ya kurejea nyumbani mamia ya maelefu ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya.
Habari ID: 3473338    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/07

TEHRAN (IQNA) - Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini Myanmar dhidi ya jamii ya Waislamu wa Rohingya.
Habari ID: 3473170    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/15

Kufuatia jinai dhidi ya Waislamu wa Myanmar
TEHRAN (IQNA) - Bunge la Umoja wa Ulaya limefuta jina la Aung San Suu Kyi, kiongozi wa chama tawala nchini Myanmar ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo katika orodha ya tuzo ya kifakhari ya taasisi hiyo ya kutunga sheria ya Ulaya.
Habari ID: 3473157    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/11

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito kwa kutatuliwa tatizo la mgogoro wa wakimbizi Warohingya kupitia utatuzi wa chanzo kikuu cha sababu za wao kukimbia makazi yao nchini Myanmar.
Habari ID: 3473113    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/28

TEHRAN (IQNA) – Waislamu Warohingya ambao ni wakimbizi nchini Bangladesh leo wameshiriki katika 'maandamano ya kimya kimya' kukumbuka mwaka wa tatu tokea waanze kufurushwa makwao nchini Myanmar.
Habari ID: 3473102    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/25

Afisa wa Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa taasisi ya Umoja wa Mataifa inayochunguza jinai dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar amesema Shirika la Facebook limekataa kutoa ushahidi wa jinai za kimataifa hata baada ya kuahidi kushirikiana kuhusu katika kadhia hiyo.
Habari ID: 3473058    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/11

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Kiislamu la Haki za Binadamu (IHRC) lenye makao yake London amelaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu ukandamizaji wa jamii za Waislamu waliowachache nchi mbali mbali duniani.
Habari ID: 3472989    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/22

TEHRAN (IQNA) - Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imeitaka serikali ya Myanmar kuchukua hatua za dharura za kuzuia mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Rohingya, ikisisitiza kuwa Warohingya hao wamesababishiwa machungu na maumivu yasiyoweza kufutika au kurekebishika.
Habari ID: 3472401    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/24