IQNA

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/33

Kazi ya Kuchambua Misahafu ya Hati ya Zamani

TEHRAN (IQNA) – Kitabu cha “Nakala za Qur'ani (Misahafu) za Bani Umayya: Muhtasari wa Kwanza” cha mwanazuoni mashuhuri wa Kifaransa Francois Deroche ni...
Jinai za Israel

Viongozi wa Kiislamu katika majimbo yanayoamua matokeo waapa kuachana na Biden juu ya Gaza

WASHINGTON, DC (IQNA) - Viongozi wa Kiislamu kutoka majimbo kadhaa ya yanayoamua matokeo ya uchaguzi Marekani, yaani Swing States, wametangaza kuondoa...
Kadhia ya Palestina

Naibu Mkuu wa Hizbullah: Watu wa Palestina wataibuka na nguvu zaidi katika vita vya Gaza

TEHRAN (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema watu wa Palestina wataibuka katika vita dhidi ya Gaza wakiwa na nguvu zaidi...
Wasomi Waislamu

Ibn al-Jazari; Msomi mkubwa wa Qari na Qur'ani Tukufu

TEHRAN (IQNA) – Jumamosi iliadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Ibn al-Jazari, qari mashuhuri katika karne ya 14 na 15 Miladia ambaye pia alikuwa mwanachuoni...
Habari Maalumu
Kitabu chenye upatanifu katika yaliyomo, hakina utata
Ifahamu Qur’ani Tukufu/40

Kitabu chenye upatanifu katika yaliyomo, hakina utata

TEHRAN (IQNA) – Moja ya vipengele vingi vya muujiza wa Qur’ani Tukufu ni upatanifu wa ajabu katika aya zake nyingi na kutokuwepo kwa mgongano wowote.
02 Dec 2023, 19:28
Mafundisho ya Uislamu  yanastawisha Tarbiyah (malezi)
Njia ya Ustawi/ 6

Mafundisho ya Uislamu yanastawisha Tarbiyah (malezi)

TEHRAN (IQNA) – Mafundisho ya Uislamu yanasisitiza juu ya Tarbiyah au malezi ya nafsi, ambayo ina maana ya kurekebisha na kuitakasa tabia.
02 Dec 2023, 19:39
Israel yadondosha mabomu katika msikiti mwingine Gaza
Jinai za Israel

Israel yadondosha mabomu katika msikiti mwingine Gaza

AL-QUDS (IQNA) - Idadi ya misikiti iliyoharibiwa kabisa na utawala wa Israel katika vita vyake dhidi ya Gaza iliongezeka hadi 88 siku ya Ijumaa, huku usitishaji...
02 Dec 2023, 18:59
Kanada: Waislamu huko Chatham-Kent wanataka makaburi
Waislamu Kanada

Kanada: Waislamu huko Chatham-Kent wanataka makaburi

OTTAWA (IQNA) - Jumuiya ya Waislamu huko Chatham-Kent, ambayo ina mamia ya watu, inataka kuwa na makaburi ambapo wanaweza kuzika wapendwa wao kulingana...
02 Dec 2023, 13:10
Marekani: Waandamanaji wanaounga mkono Palestina wasali nje ya ubalozi wa Israel
Jinai za Israel

Marekani: Waandamanaji wanaounga mkono Palestina wasali nje ya ubalozi wa Israel

OTTAWA (IQNA) - Zaidi ya waandamanaji 100 Waislamu walikusanyika karibu na ubalozi wa Israel katika mji mkuu wa Marekani siku ya Ijumaa na kusali sala...
02 Dec 2023, 12:44
Wengi wavutiwa na Uislamu nchini  Uhispania baada ya hujuma ya Israel huko Gaza
Watetezi wa Palestina

Wengi wavutiwa na Uislamu nchini Uhispania baada ya hujuma ya Israel huko Gaza

MADRID (IQNA) – Kiongoi mmoja wa Kiislamu nchini Uhispania anasema kumekuwa na ongezeko la watu wenye nia ya kufanya uchunguzi wa kina kuhusu Uislamu kufuatia...
01 Dec 2023, 21:40
Utawala katili wa Israel waendeleza jinai Gaza
Jinai za Israel

Utawala katili wa Israel waendeleza jinai Gaza

TEHRAN (IQNA)- Kuanzia jana subuhi Ijuumaa, na mara baada ya kumalizika muda wa kusimamisha vita, utawala wa Kizayuni umeendeleza mauaji ya kikatili kupindukia...
02 Dec 2023, 10:15
Mashindano ya 46 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran Yaanza
Mashindano ya Qur'ani

Mashindano ya 46 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran Yaanza

TEHRAN (IQNA) - Duru ya mwisho ya toleo la 46 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilianza katika mji wa kaskazini-magharibi wa Bojnourd...
01 Dec 2023, 20:22
Israel yaendelea kuua watoto wadogo Palestina
Jinai za Israel

Israel yaendelea kuua watoto wadogo Palestina

UKINGO WA MAGHARIBI (IQNA)- Watoto wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Jenin,...
30 Nov 2023, 17:09
Al Azhar: Dunia iungane kuanzisha taifa huru la Palestina
Watetezi wa Palestina

Al Azhar: Dunia iungane kuanzisha taifa huru la Palestina

CAIRO (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimesema wakati umefika kwa watu wote wanaopenda uhuru duniani kuungana kwa ajili ya kuundwa taifa...
30 Nov 2023, 17:02
Maandamano ya kuunga mkono Palestina na kulaani Israeli yaendelea duniani kote
Waungaji mkono Palestina

Maandamano ya kuunga mkono Palestina na kulaani Israeli yaendelea duniani kote

TEHRAN (IQNA)- Katika muendelezo wa himaya na uungaji mkono wa ulimwengu kwa mapambano ya wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel,...
30 Nov 2023, 16:50
Kutafakari Katika Mbinu ya Elimu ya Nabii Nuh
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Nuh/37

Kutafakari Katika Mbinu ya Elimu ya Nabii Nuh

TEHRAN (IQNA) – Ujinga na kukataa kufikiri na kutafakari ni uhalifu ambao umesababisha madhara kwa ubinadamu katika historia.
30 Nov 2023, 16:08
Ayatullah Khamenei: Tukio la Kihistoria la Kimbunga cha Al Aqsa limevuruga sera za Marekani
Kimbunga cha Al Aqsa

Ayatullah Khamenei: Tukio la Kihistoria la Kimbunga cha Al Aqsa limevuruga sera za Marekani

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei anasema tukio la kihistoria la Kimbunga cha al-Aqsa cha harakati ya Hamas...
29 Nov 2023, 16:10
Mahathir Mohammad akosoa udhaifu wan chi za Kiislamu kuhusu Gaza
Kadhia ya Palestina

Mahathir Mohammad akosoa udhaifu wan chi za Kiislamu kuhusu Gaza

TEHRAN (IQNA)- Kutokana na udharura na haja ya kuongezwa na kuimarishwa umoja na mshikamano baina ya wapenda uhuru na wapigania haki hususan nchi za Kiislamu...
29 Nov 2023, 15:25
Jinsi Khums na Zaka zinavyotofautiana na Ushuru
Khums katika Uislamu /8

Jinsi Khums na Zaka zinavyotofautiana na Ushuru

TEHRAN (IQNA) - Khums na Zaka ni pesa au mali zinazopokelewa na taasisi za kidini za Kiislamu wakati ushuru unakusanywa na serikali.
29 Nov 2023, 15:18
Mapendekezo yakaribishwa kuhusu Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran
Maonyesho ya Qur'ani Tukufu

Mapendekezo yakaribishwa kuhusu Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran

TEHRAN (IQNA) - Waandaaji wa toleo lijalo la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran wanakaribisha mawazo mapya ya kuandaa vyema tukio hilo...
29 Nov 2023, 15:11
Picha‎ - Filamu‎