IQNA

Ahadi ya Kweli

Operesheni ya Iran ya Ahadi ya Kweli imesembaratisha dhana potofu ya kutoshindwa Israel

IQNA – Mchambuzi wa masuala ya kisiasa Lebanon amepongeza shambulio la hivi karibuni la Iran dhidi ya Israel kwa kutumia makombora na ndege zisizo na akisema...
Ahadi ya Kweli

Msomi wa Yemen: 'Ahadi ya Kweli' haikuwa tu operesheni ya kulipiza kisasi

IQNA - Profesa wa chuo kikuu cha Yemeni amesema "Operesheni ya Ahadi ya Kweli" ya kijeshi ya Iran dhidi ya Israeli ilikuwa zaidi ya shambulio la kulipiza...
Jinai za Israel

UN: Watu Milioni 2 huko Gaza wanapata matatizo makubwa ya kimaisha kila siku

IQNA - Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu hali mbaya katika Ukanda wa Gaza ambapo watu wanahangaika maisha kila siku, ukitangaza kuwa utazindua ombi la kimataifa...
Hija na Umrah

Kikao cha Madina kujadili fursa za kuboresha Hija ya Umra

IQNA – Kikao cha kwanza cha Jukwaa la Hija na Umrah kimepangwa kuanza Jumatatu ijayo, Aprili 22, katika mji mtakatifu wa Madina, Saudi Arabia.
Habari Maalumu
Fatwa Milioni 1.5 hutolewa katika lugha 12 nchini Misri kila mwaka
Mafundisho ya Kiislamu

Fatwa Milioni 1.5 hutolewa katika lugha 12 nchini Misri kila mwaka

IQNA - Kituo cha Darul Iftaa cha Misri kimetoa Fatwa milioni 1.5 mshauri wa Mufti Mkuu wa nchi hiyo alisema.
17 Apr 2024, 17:48
Nukta nane kuhusu Shambulio la Kulipiza kisasi la Iran dhidi ya Israel
Ahadi ya Kweli

Nukta nane kuhusu Shambulio la Kulipiza kisasi la Iran dhidi ya Israel

IQNA - Mchambuzi wa Lebanon ameorodhesha nukta nane kuhusu mashambulizi ya kulipiza kisasi wa Iran dhidi ya utawala haramu wa Israel ambayo yalikuja baada...
16 Apr 2024, 20:22
Mafundisho ya Quran kuhusu Nidhamu ya Kihisia
Nidhamu katika Qur'ani /2

Mafundisho ya Quran kuhusu Nidhamu ya Kihisia

IQNA – Mafundisho ya Qur’ani Tukufu yanatupa miongozo na kutoa kielelezo cha nidhamu ya kihisia, kutusaidia kuzuia kuathiriwa na mihemko katika hali tofauti.
16 Apr 2024, 20:59
Vikao vya Qur'ani katika Haram ya Imam Ridha (AS) kuenzi operesheni ya Iran dhidi ya Israel
Ahadi ya Kweli

Vikao vya Qur'ani katika Haram ya Imam Ridha (AS) kuenzi operesheni ya Iran dhidi ya Israel

IQNA - Msururu wa vikao vha kusoma  Qur'ani Tukufu ambavyo vimepewa jina la "Ahadi ya Kweli" vinafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko...
16 Apr 2024, 19:56
Mufti wa Oman apongeza hatua ya Iran kulipiza kisasi dhidi ya utawala wa Israel
Ahadi ya Kweli

Mufti wa Oman apongeza hatua ya Iran kulipiza kisasi dhidi ya utawala wa Israel

IQNA-Mufti Mkuu wa wa Oman amekaribisha na kupongeza mashambulizi ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
16 Apr 2024, 16:30
Daraja la Golden Gate la San Francisco lafungwa kuuunga mkono Gaza (+Video)
Jinai za Israel

Daraja la Golden Gate la San Francisco lafungwa kuuunga mkono Gaza (+Video)

IQNA - Barabara kuu ya 101 ya San Francisco kwenye daraja la Golden Gate ilifungwa na waandamanaji wanaounga mkono Palestina wakitaka kukomesha uungaji...
16 Apr 2024, 16:51
Onyo la Iran kwa Marekani: Msithubutu kuchukua hatua za kijeshi
Ahadi ya Kweli

Onyo la Iran kwa Marekani: Msithubutu kuchukua hatua za kijeshi

IQNA-Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameionya Marekani kuhusu kuanzisha hatua za kijeshi dhidi ya Iran baada ya operesheni yake ya kisheria ya hivi...
15 Apr 2024, 16:41
Qur'ani Tukufu  inasemaje kuhusu nidhamu
Nidhamu katika Qur'ani /1

Qur'ani Tukufu inasemaje kuhusu nidhamu

IQNA – Qur’ani Tukufu, pamoja na kuangazia mpangilio katika uumbaji wa ulimwengu wa asili, inawaalika wanadamu kwenye mfululizo wa maadili, tabia na maelekezo...
14 Apr 2024, 14:58
Iran yaonya itatoa jibu kali iwapo utawala wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli
­­­­­­­­­Ahadi ya Kweli

Iran yaonya itatoa jibu kali iwapo utawala wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli

IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli utakabiliwa na...
14 Apr 2024, 19:54
Mkorea aliyesilimu kujenga Msikiti huko Incheon
Waislamu Korea Kusini

Mkorea aliyesilimu kujenga Msikiti huko Incheon

IQNA - Daud Kim, msanii maarufu wa pop wa Korea Kusini na YouTuber ambaye alikubali Uislamu mnamo 2019, ameanza mradi wa kujenga msikiti huko Incheon,...
14 Apr 2024, 14:46
Algeria kuongeza zawadi za fedha taslimu  katika mashindano ya Qur'ani
Mashindano ya Qur'ani Algeria

Algeria kuongeza zawadi za fedha taslimu katika mashindano ya Qur'ani

IQNA - Rais wa Algeria ameamuru kuongezwa kwa zawadi za fedha zinazotolewa kwa washindi wa mashindano ya Qur'ani nchini humo.
14 Apr 2024, 14:45
Iran yashambulia utawala wa Israel kulipiza kisasi ugaidi
Ahadi ya Kweli

Iran yashambulia utawala wa Israel kulipiza kisasi ugaidi

IQNA- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limefanya mashambulizi makubwa ya kulipiza kisasi kwa kutumia makombora na ndege zisizo...
14 Apr 2024, 11:39
Mtafiti: Kusimulia hadithi ni njia muhimu ya kisanaa ya kueneza mafundisho ya Qur'ani
Qur'ani Tukufu

Mtafiti: Kusimulia hadithi ni njia muhimu ya kisanaa ya kueneza mafundisho ya Qur'ani

IQNA - Mtafiti wa Guinea-Bissau anasema mbinu ya kusimulia hadithi imetumika katika Qur'an na inaweza kueneza mafundisho ya Kiislamu kwa ufanisi.
13 Apr 2024, 16:46
Qari maarufu wa Bangladesh akisoma Surah Al-Infitar kwenye kipindi cha TV cha Mahfel (+Video)
Qiraa ya Qur'ani

Qari maarufu wa Bangladesh akisoma Surah Al-Infitar kwenye kipindi cha TV cha Mahfel (+Video)

IQNA – Sheikh-ul-Qurra (mbora wa maqari) wa Bangladesh ni miongoni mwa maqari ambao qiraa yake imevutia wengi katika cha Televisheni cha Mahfel.
13 Apr 2024, 16:09
Muiraqi aliyevunjia heshima Qur'ani atimuliwa Norway na kurejeshwa Uswidi
Muiraqi

Muiraqi aliyevunjia heshima Qur'ani atimuliwa Norway na kurejeshwa Uswidi

IQNA - Norway imekataa ombi la hifadhi la Salwan Momika, mkimbizi kutoka Iraq ambaye aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu mara kadhaa nchini Uswidi katika...
13 Apr 2024, 16:24
Mfanyaziara Mnigeria  atoa zawadi ya nakala Msahafu wa Hati ya Maghribi kwa Imam Ridha AS
Turathi

Mfanyaziara Mnigeria atoa zawadi ya nakala Msahafu wa Hati ya Maghribi kwa Imam Ridha AS

IQNA - Hujaji wa Nigeria na mwanafunzi amekabidhi nakala iliyoandikwa kwa mkono ya Qur'ani Tukufu katika hati ya Maghribi kwa Maktaba Kuu ya Haram ya Imam...
13 Apr 2024, 14:46
Picha‎ - Filamu‎