Habari Maalumu
TEHRAN (IQNA)- Hivi sasa roboti zinatumika kuwaongoza Waislamu wanaofika katika Msikiti Mtakatifu wa Makka kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija Ndogo...
16 May 2022, 12:30
TEHRAN (IQNA)- Orodha ya maeneo yenye huudma na bidhaa Halal katika mji wa New York, Marekani imechapishwa kwa lengo la kuwasaidia wenyeji na watalii Waislamu...
16 May 2022, 09:12
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na maulamaa na wanazuoni wa Ahul Sunna wal Jamaa nchini Iran na kusisitiza kuwa...
15 May 2022, 21:57
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Imam Ali AS cha Vienna, Austria kimeanzisha mpango wa kuhifadhi Qur'ani kwa njia ya intaneti.
15 May 2022, 17:38
TEHRAN (IQNA)- Hayya Alal Falah ni sehemu ya Adhana au wito wa Sala katika Uislamu na maana yake ni Haya njooni kwenye kufaulu, mafanikio au wokovu.
15 May 2022, 13:58
TEHRAN (IQNA)- Ushahidi wote unaonyesha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umemuua kwa makusudi mwandishi wa habari wa kike na Mkristo wa televisheni ya...
15 May 2022, 17:53
TEHRAN (IQNA)- Aplikesheni maalumu ambayo inawasiadia Waislamu kuhitimisha Qur'ani Tukufu imezinduliwa hivi karibuni nchini Kuwait.
14 May 2022, 18:05
TEHRAN (IQNA)- Aliyekuwa nyota wa timu ya Soka ya Cameroon, Patrick Mboma amesilimu leo na kuchagua jina la Abdul-Jalil ambalo atalitumia akiwa Mwislamu.
14 May 2022, 19:19
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limetenda jinai nyingine kwa kuushambulia kinyama mkusanyiko wa kuusindikiza mwili wa shahidi Shireen...
14 May 2022, 17:18
TEHRAN (IQNA)- Mamlaka ya Ndani ya Palestina imesema inaunga mkono kuhusishwa taasisi za kimataifa katika uchunguzi kuhusu kitendo cha jinai cha askari...
14 May 2022, 17:12
Kiongozi Muadhamu katika mkutano na Amir wa Qatar
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema dhulma ya miongo kadhaa ya utawala khabithi wa Kizayuni dhidi ya watu wa Palestina ni...
13 May 2022, 06:53
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, safari za hivi karibuni ya Rais Bashar al-Assad wa Syria na Amir...
13 May 2022, 21:52
TEHRAN (IQNA)- Mashirika na makundi 250 ya kutetea haki za binadamu yametoa wito wa kuchukuliwa hatua za kisheria utawala haramu wa Israel kwa jinai uliyotenda...
13 May 2022, 22:02
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) au Imarati, Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan amefariki dunia.
13 May 2022, 22:10
TEHRAN (IQNA) – Mwanachuoni wa kidini alisema Allamah Seyed Mohammad Hossein Tabatabaei alifungua njia mpya katika tafsiri ya Kurani Tukufu.
12 May 2022, 17:39
TEHRAN (IQNA)- Ufaransa imemtimua kutoka nchi hiyo mhubiri mmoja wa Kiislamu Mkomoro na familia yake baada ya kusikika akisoma aya za Qur'ani Tukufu na...
12 May 2022, 17:18