IQNA

Taasis ya Kiirani ya Qurani yatoa zaidi ya vyeti 1,000 vya kuhifadhi Qur'ani ndani ya miezi sita

IQNA – Taasisi ya Mahd Qur'ani ya Iran imetoa vyeti 1,004 kwa wanafunzi waliokamilisha kuhifadhi sura za Qur'ani Tukufu na kuelewa maana ya aya zake katika...

Saudia Kuanzisha Makumbusho ya Kudumu Kuhusu Hija na Misikiti Miwili Mitukufu

IQNA – Mamlaka za Ufalme wa Saudi Arabia zimetangaza mpango wa kuanzisha makumbusho ya kudumu yatakayohifadhi historia ya Hija na Misikiti Miwili Mitukufu...

Qatar kuandaa mikutano ya kimataifa kuhusu Qur'ani na Fikra za Kiislamu

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Qatar, kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Qatar, imepanga kuandaa mikutano miwili ya kimataifa mapema mwezi...

Pendekezo la ‘Fainali ya Mabingwa’ kwa Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani

IQNA – Ahmad Abolqassemi, Qari mashuhuri kutoka Iran, amesisitiza uwezo wa kipekee wa nchi hiyo katika uwanja wa usomaji wa Qur’ani Tukufu, akipendekeza...
Habari Maalumu
Mashindano ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Libya yamalizika

Mashindano ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Libya yamalizika

IQNA – Libya imetangaza washindi wa Tuzo ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, iliyofikia tamati mjini Benghazi kwa ushiriki wa zaidi ya mataifa 70.
29 Sep 2025, 12:42
Qom kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa ya Iran ya ‘Zayin al-Aswat’

Qom kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa ya Iran ya ‘Zayin al-Aswat’

IQNA – Toleo la kwanza la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani ya Iran ya “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) linatarajiwa kufanyika katika mji mtakatifu wa...
28 Sep 2025, 15:45
‘Baba wa Maqari’: Al-Azhar Yamuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi

‘Baba wa Maqari’: Al-Azhar Yamuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi

IQNA – Katika kumbukumbu ya kifo chake, Kituo cha Fatwa cha Kimataifa cha Al-Azhar kimemuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi, akimtaja mtaalamu na msomi wa Misri...
28 Sep 2025, 15:30
‘Quds; Mji Mkuu wa Palestina’ Kauli Mbiu ya Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Amman

‘Quds; Mji Mkuu wa Palestina’ Kauli Mbiu ya Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Amman

IQNA – Maonyesho ya 24 ya Kimataifa ya Vitabu ya Amman 2025 yalifunguliwa Alhamisi, Septemba 25, katika Kituo cha Maonyesho cha Kimataifa cha Jordan, kwa...
28 Sep 2025, 13:44
Kiongozi wa Ansarullah: : Njia  ya Sayyid Hassan Nasrallah inaendelea

Kiongozi wa Ansarullah: : Njia ya Sayyid Hassan Nasrallah inaendelea

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika hotuba aliyotoa kwa ajili ya kumbukumbu ya mwaka mmoja ya kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah,...
28 Sep 2025, 13:32
Kiongozi wa Hizbullah asema: "Ewe Nasrallah, kama ulivyotufunza, hatutaziacha katu silaha za Muqawama"

Kiongozi wa Hizbullah asema: "Ewe Nasrallah, kama ulivyotufunza, hatutaziacha katu silaha za Muqawama"

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, amehutubia mjini Beirut maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah...
28 Sep 2025, 13:23
Zaidi ya Tafsiri 40 za Qur’ani zimekaguliwa ndani ya miezi sita nchini Iran

Zaidi ya Tafsiri 40 za Qur’ani zimekaguliwa ndani ya miezi sita nchini Iran

IQNA-Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Tafsiri ya Qur’ani na Maandishi ya Kidini nchini Iran, Karim Dolati, ametangaza kuwa taasisi hiyo imekagua kati ya...
27 Sep 2025, 17:51
Watu Zaidi ya Milioni 53 Watembelea Misikiti Miwili Mitakatifu Mwezi Mmoja

Watu Zaidi ya Milioni 53 Watembelea Misikiti Miwili Mitakatifu Mwezi Mmoja

IQNA-Katika mwezi wa Rabi al-Awwal 1447 Hijria, Misikiti Miwili Mitakatifu—Msikiti Mkuu wa Makka na Msikiti wa Mtume (SAW) huko Madina, imepokea jumla...
27 Sep 2025, 16:58
Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Qur’ani ya Morocco yaingia fainali

Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Qur’ani ya Morocco yaingia fainali

IQNA-Mashindano ya sita ya kuhifadhi, kusoma, na Tajwidi ya Qur’ani Tukufu nchini Morocco yameingia katika hatua ya mwisho, yakifanyika kuanzia Ijumaa...
27 Sep 2025, 16:48
Kutoka Gizani Hadi Nuru: Kisha Mtaalamu wa Kijerumani aliyegundua Ukweli wa Qur’ani Tukufu

Kutoka Gizani Hadi Nuru: Kisha Mtaalamu wa Kijerumani aliyegundua Ukweli wa Qur’ani Tukufu

IQNA- Kisa cha kweli cha  Alfred Huber ni simulizi ya mtu aliyesafiri kimwili na kiroho, akivuka dini, tamaduni na lugha, hadi alipogundua mwangaza wa...
27 Sep 2025, 16:42
Mwanaume akamatwa Singapore kwa kutuma kifurushi chenye nyama ya nguruwe kwenye Msikiti

Mwanaume akamatwa Singapore kwa kutuma kifurushi chenye nyama ya nguruwe kwenye Msikiti

IQNA - Polisi wa Singapore wamemkamata mwanaume mwenye umri wa miaka 61 kwa tuhuma za kutuma kifurushi chenye nyama ya nguruwe kwa makusudi ya kuwadhalilisha...
27 Sep 2025, 17:55
Iran yaongeza maradufu idadi ya safari za ndege za Umrah

Iran yaongeza maradufu idadi ya safari za ndege za Umrah

IQNA – Idadi ya safari za ndege zinazowasafirisha waumini wa ibada ya Umrah kutoka Iran kwenda Saudi Arabia imeongezeka tangu mwanzo wa wiki hii.
26 Sep 2025, 15:14
Meya wa London Sadiq Khan amjibu Trump, amtaja kuwa mbaguzi mwenye chuki dhidi ya Uislamu’

Meya wa London Sadiq Khan amjibu Trump, amtaja kuwa mbaguzi mwenye chuki dhidi ya Uislamu’

IQNA- Meya wa jiji la London, Sadiq Khan, amemjibu kwa ukali Rais wa Marekani Donald Trump, akimtuhumu kuwa “mbaguzi wa rangi, jinsia, wanawake na mwenye...
26 Sep 2025, 15:07
Maldivi Kuweka Matawi ya Kituo cha Qur'ani kwenye kila kisiwa nchini humo

Maldivi Kuweka Matawi ya Kituo cha Qur'ani kwenye kila kisiwa nchini humo

IQNA – Serikali ya Maldivi (Maldives) inakusudia kuanzisha matawi ya Kituo cha Qurani katika visiwa vyote vya nchi hiyo.
26 Sep 2025, 14:30
Watu wanne wauawa katika maandamano kizazi cha Gen-Z  eneo la Waislamu wengi la Ladakh, India

Watu wanne wauawa katika maandamano kizazi cha Gen-Z eneo la Waislamu wengi la Ladakh, India

IQNA – Waandamanaji wamepambana na vikosi vya usalama vya India katika jimbo lenye Waislamu wengi la Ladakh siku ya Jumatano, na ripoti zikisema angalau...
26 Sep 2025, 14:14
Yemen yaendeleza oparesheni za kijeshi dhidi ya utawala katili wa Israel

Yemen yaendeleza oparesheni za kijeshi dhidi ya utawala katili wa Israel

IQNA-Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limesema ndege isiyo na rubani iliyorushwa kutoka Yemen imeshambulia mji wa kusini wa Eilat na kujeruhi watu...
26 Sep 2025, 15:22
Picha‎ - Filamu‎