Habari Maalumu
Ifahamu Qur’ani Tukufu/40
TEHRAN (IQNA) – Moja ya vipengele vingi vya muujiza wa Qur’ani Tukufu ni upatanifu wa ajabu katika aya zake nyingi na kutokuwepo kwa mgongano wowote.
02 Dec 2023, 19:28
Njia ya Ustawi/ 6
TEHRAN (IQNA) – Mafundisho ya Uislamu yanasisitiza juu ya Tarbiyah au malezi ya nafsi, ambayo ina maana ya kurekebisha na kuitakasa tabia.
02 Dec 2023, 19:39
Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Idadi ya misikiti iliyoharibiwa kabisa na utawala wa Israel katika vita vyake dhidi ya Gaza iliongezeka hadi 88 siku ya Ijumaa, huku usitishaji...
02 Dec 2023, 18:59
Waislamu Kanada
OTTAWA (IQNA) - Jumuiya ya Waislamu huko Chatham-Kent, ambayo ina mamia ya watu, inataka kuwa na makaburi ambapo wanaweza kuzika wapendwa wao kulingana...
02 Dec 2023, 13:10
Jinai za Israel
OTTAWA (IQNA) - Zaidi ya waandamanaji 100 Waislamu walikusanyika karibu na ubalozi wa Israel katika mji mkuu wa Marekani siku ya Ijumaa na kusali sala...
02 Dec 2023, 12:44
Watetezi wa Palestina
MADRID (IQNA) – Kiongoi mmoja wa Kiislamu nchini Uhispania anasema kumekuwa na ongezeko la watu wenye nia ya kufanya uchunguzi wa kina kuhusu Uislamu kufuatia...
01 Dec 2023, 21:40
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kuanzia jana subuhi Ijuumaa, na mara baada ya kumalizika muda wa kusimamisha vita, utawala wa Kizayuni umeendeleza mauaji ya kikatili kupindukia...
02 Dec 2023, 10:15
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Duru ya mwisho ya toleo la 46 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilianza katika mji wa kaskazini-magharibi wa Bojnourd...
01 Dec 2023, 20:22
Jinai za Israel
UKINGO WA MAGHARIBI (IQNA)- Watoto wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Jenin,...
30 Nov 2023, 17:09
Watetezi wa Palestina
CAIRO (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimesema wakati umefika kwa watu wote wanaopenda uhuru duniani kuungana kwa ajili ya kuundwa taifa...
30 Nov 2023, 17:02
Waungaji mkono Palestina
TEHRAN (IQNA)- Katika muendelezo wa himaya na uungaji mkono wa ulimwengu kwa mapambano ya wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel,...
30 Nov 2023, 16:50
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Nuh/37
TEHRAN (IQNA) – Ujinga na kukataa kufikiri na kutafakari ni uhalifu ambao umesababisha madhara kwa ubinadamu katika historia.
30 Nov 2023, 16:08
Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei anasema tukio la kihistoria la Kimbunga cha al-Aqsa cha harakati ya Hamas...
29 Nov 2023, 16:10
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Kutokana na udharura na haja ya kuongezwa na kuimarishwa umoja na mshikamano baina ya wapenda uhuru na wapigania haki hususan nchi za Kiislamu...
29 Nov 2023, 15:25
Khums katika Uislamu /8
TEHRAN (IQNA) - Khums na Zaka ni pesa au mali zinazopokelewa na taasisi za kidini za Kiislamu wakati ushuru unakusanywa na serikali.
29 Nov 2023, 15:18
Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Waandaaji wa toleo lijalo la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran wanakaribisha mawazo mapya ya kuandaa vyema tukio hilo...
29 Nov 2023, 15:11