QOM (IQNA)- Balozi wa Jamhuri ya Kenya nchini Iran Mh. Joshua Gatimu ametembelea Haram Takatifu ya Bibi Maasuma - Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-katika mji wa Qum.
Habari ID: 3475222 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/08
Siku kama ya leo miaka 1241 iliyopita inayosadifiana na tarehe 10 Rabiuthani mwaka 201 Hijria, alifariki dunia Bibi Fatima Maasuma A.S, binti wa Imam Musa bin Jaafar A.S mmoja wa wajukuu watukufu wa Bwana Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3473397 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/26