iqna

IQNA

shekau
TEHRAN (IQNA) – Kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) Afrika Magharibi, ISWAP, limethibitisha katika ujumbe wa sauti kwamba kinara wa kundi la kigaidi la Boko Haram la Nigeria, Abubakar Shekau amejiua na kuelekea jongomeo.
Habari ID: 3473987    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/07

Magaidi wa kitakfiri wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wamewaua kwa umati wakaazi wa mji wa Gwoza waliokuwa wamekusanyika kusoma Qur'ani Tukufu kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 2944655    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/08

Wanamgambo wa kitakfiri wa kundi la Boko Haram wa nchini Nigeria wametangaza kuasisi kile walichokitaja kuwa ni utawala wa “Khilafa” huko kaskazini mashariki mwa mji wa Gwoza.
Habari ID: 1443511    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/26