iqna

IQNA

chakula
LONDON (IQNA) - Uwanja wa London unatazamiwa kuandaa Tamasha la Kila mwaka la Chakula cha Halali cha Dunia mwezi huu.
Habari ID: 3477571    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/09

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Saudi Arabia imetangaza kuzndia kampeni mpya ya kupunguza kiwango cha israfu ya chakula ambayo imetajwa kuwa tatizo sugu katika nchi hiyo tajiri ya Kiarabu.
Habari ID: 3476769    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/27

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unatarajiwa kuanza wiki ijayo na Waislamu duniani wanasubiri kwa hamu kubwa kuanza kufunga katika mwezi huo mtukufu.
Habari ID: 3476732    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19

Sekta ya Halal
TEHRAN (IQNA) – Warsha kuhusu sekta ya chakula Halal imepangwa kuandaliwa katika mji mkuu wa Libya wa Tripoli na Wizara ya Uchumi na Biashara ya nchi hiyo.
Habari ID: 3476526    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/07

Hali ya Waislamu duniani
TEHRAN (IQNA) – Shirika la Kiislamu la Usalama wa Chakula (IFS) lilifanya kongamano huko Astana, Kazakhstan, likilenga zaidi hali ya bara la Afrika.
Habari ID: 3476245    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/13

Qur’ani Tukufu Inasemaje/30
TEHRAN (IQNA) - Kila dini ina vigezo fulani juu ya aina gani ya chakula wafuasi wake wanaweza kula na nini wengine wanapaswa kuepuka.
Habari ID: 3475889    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/06

TEHRAN (IQNA)- Dini tukufu ya Kiislamu inawahimiza waumini kujiepusha na israfu hasa katika chakula kwani huku Waislamu wakiwa kuwasaidia wasiojiweza katika jamii.
Habari ID: 3474554    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/14

TEHRAN (IQNA) - Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya chakula Duniani (WFP) limetunukiwa Tuzo ya amani ya Nobel mwaka 2020.
Habari ID: 3473245    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/09

TEHRAN (IQNA)-Tamasha la Chakula Halal limefanyika mjini London kwa mafanikio kati ya Agosti 19-20.
Habari ID: 3471135    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/21

TEHRAN (IQNA)-Tamasha la Chakula Halal mjini Toronto, Canada, ni tamasha kubwa zaidi la chakula Halal eneo la Amerika Kaskazini na mwaka huu limewavutia Waislamu wengi waliojivunia mafanikio yao katika jamii.
Habari ID: 3471073    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18

Mgahawa Halali ulio katika makao ya wanariadha katika michezo ya Olimpiki huko Rio de Janeiro nchini Brazil mbali na kuwavutia wanariadha Waislamu pia unawavutia wasiokuwa Waislamu.
Habari ID: 3470524    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/15

Michezo ya Olimpiki mwaka 2016 imeanza Jumamosi katika mji wa Rio de Janeiro nchini Brazil huku wanariadha Waislamu wakihakikishwa kupata chakula halali.
Habari ID: 3470499    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/06