iqna

IQNA

cameroon
TEHRAN (IQNA)- Aliyekuwa nyota wa timu ya Soka ya Cameroon, Patrick Mboma amesilimu leo na kuchagua jina la Abdul-Jalil ambalo atalitumia akiwa Mwislamu.
Habari ID: 3475251    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/14

TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa Kiislamu na Kikristo nchini Cameroon wameshiriki katika dua ya pamoja kuomba amani na mafanikio ya mashindano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Habari ID: 3474781    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/08

TEHRAN (IQNA)-Waislamu wameuawa wameuawa baada ya gaidi kujilipua ndani ya msikiti kaskaini mwa Cameroon, ambapo maafisa wa usalama wanashuku kundi la kigaidi la Boko Haram limehusika na hujuma hiyo.
Habari ID: 3471172    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/14