IQNA – Usiku wa tarehe 7 hadi 8 Septemba 2025, tukio nadra la kupatwa kwa mwezi kwa jumla, linalojulikana kama Mwezi Mwekundu, litaonekana katika maeneo mengi duniani. Tukio hili la kiasili litaambatana na kuswaliwa kwa swala maalumu ijulikanayo kama Sala ya Ayat na Waislamu katika sehemu mbalimbali.
14:39 , 2025 Sep 07